Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Inapenda kuwatangazia wateja na wadau wake wote kuwa imesitisha kwa muda kutoa huduma za kukodisha kumbi zake zote kuanzia tarehe 23 Machi, 2020 hadi itakapotangazwa hapo baadaye. Hii ni kutokana na Mlipuko wa virusi vya Korona.
Anna G. Ngoo
Kny: MKURUGENZI MKUU