Mradi wa Kukuza Ubunifu Kusini mwa Africa (Southern Africa Innovation Support Program - SAIS 2) umetangaza fursa kwa wabunifu wa Kitanzania kutuma maombi ya kutangaza ubunifu wao.
Wabunifu wawili (2) watakaofuzu watawezeshwa kuhudhuria mafunzo ya ubunifu (bootcamp) jijini Helsinki, nchini Finland mwezi Novemba 2020.
Kama wewe ni mbunifu, au unamfahamu mbunifu aliyeko katika mikoa ya Iringa, Mbeya, Arusha, Dodoma, Zanzibar na Dar es Salaam, tafadhali mjulishe atembelee tangazo hilo kupitia: https://www.saisprogramme.org/connectedhubs/boostup
Fomu ya maombi inapatikana katika: https://drive.google.com/open?id=1nryrLZwK-Pay3YFGNAlYFG-iglbgYQ5-iWkdklxAkq4
kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea: