Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia siku ya Ijumaa tarehe 17 Julai imezindua Baraza jipya la wafanyakazi litakalodumu kwa kipindi cha miaka mitatu(2020 mpaka 2023)katika Ukumbi Mkubwa wa Mikutano ulipo Makao Makuu, Kinondoni Dar es salaam.
Kwa maelezo zaidi pakua hapa.